Umepata alama ngapi? Kufaulu ni asilimia mia moja (100%). Mungu hapimi uzani. Yakobo 2:10 “Maana mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika neno moja, amekosa juu ya
yote.” Sheria ni kama pulizo. Tundu moja tu hutoa hewa na kuliharibu.
| | | | | Imani iokoayo
| | | | Toba|
| | | | Hatia| |
| | | Kujali| | |
| Kutojali| | | |
| | | | | |
Upo katika ngazi hii? Hatia yaweza kukuongoza kwenye…
Kisha, jaribu kufikiri maswali haya muhimu:
1. Umepata kufanya dhambi kwa kuvunja mojawapo ya Sheria za Mungu? ( )Ndiyo ( )Hapana
2. Je, dhambi zako hukusumbua? ( )Ndiyo ( )Hapana
3. Kwa kiwango gani? ( ) Kiasi kidogo? ( )Kiasi kikubwa? ( )Kiasi cha kutosha kuzishughulikia?
|