Kutojali
Huenda unajua kwa kiasi cha kutosha juu ya Yesu na wokovu, au unafahamu kiasi kidogo. Jambo la msingi ni kwamba hujali.
Hali ya kutojali itakufanya uwe mbali na kumfahamu Mungu, lakini haimfanyi Mungu aache kukujali. Kwa kuwa “…Mungu aonyesha pendo lake yeye mwenyewe kwetu sisi, kwa kuwa Kristo alikufa kwa ajili yetu, tulipokuwa tungali wenye dhambi.” Warumi 5:8
| | | | | Imani iokoayo
| | | | Toba|
| | | | Hatia| |
| | | Kujali| | |
| Kutojali| | | |
| | | | | | Upo katika ngazi hii? |