Kila mtu yuko kwenye moja ya hatua hizi 5.
Msimamo wako huonyesha umbali wako kutoka kwa Mungu. Kila “hatua” huelezea hali ya moyo
katika kumwelekea Mungu na hiyo huonyesha umbali wako-karibu au mbali-kutoka kwake. Yesu alifundisha haya aliposema kwa mtu aliyekuwa akitafuta ukweli, “Wewe hu mbali na ufalme wa Mungu.” Marko 12:34
| | | | | Imani iokoayo
| | | | Toba|
| | | | Hatia| |
| | | Kujali| | |
| Kutojali| | | |
| | | | | | Upo kwenye hatua gani? |