<<<<<

Piga
Mungu
Pengine
Huyu
Kila
Kutojali
Kujali
Amri Kumi
Hatia
Umepata
Toba
Basi
Imani iokoayo
Anakuwa
Kwa
Sababu
Na

Barua-pepe

  >>>>>

Huyu Mungu wa ajabu anataka…


Kukusamehe dhambi zako zote  
  Kukupa maana katika maisha yako sasa 
   Kukupeleka peponi mara uhai wako utakapo koma


Haya yote ni yako iwapo utakabidhi maisha yako kwa Bwana Yesu Kristo.

Iwapo utakataa zawadi hii ya rehema na upendo, unajiweka mwenyewe juu ya Mungu na chini ya hukumu yake. (Yohana 3:36) Unajiweka mwenyewe kuwa mwenye mamlaka ya mwisho.

Hivyo, swali la maana sana ambalo utakuja kukutana nalo ni —

Ni nani aongozaye maisha yako?

Wewe mwenyewe au Yesu? Kurasa chache zinazofuata zitakusaidia kuelewa.